
Imeripotiwa kuwa kipindi cha mapumziko Kocha huyo alitumia maneno mabaya kwa mwamuzi Mark Clattenburg,na kipindi cha pili akapelekwa jukwaani kwa mashabiki kutokana na kosa hilo.
Jose alikuwa mkali kwa mwamuzi huyo akidai kwa nini timu yake haikupewa penati pale Matteo Darmian alipochezewa vibaya na Jon Flanagan katika eneo la hatari.
FA imemtaka Jose kujibu shtaka hilo kabla ya siku ya ijumaa ya juma hili
No comments:
Post a Comment