Inadaiwa kuwa watu wanne wame jeruhiwa huku magari 24 yaliyo kuwa yame egeshwa mahari hapo na kuharibika vibaya. Kamanda Polisi mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alikuepo kwenye eneo la tukio na aliongea na waandishi wa Habari.
Chanzo cha Ajali hiyo ni mkandarasi aliyekuwa akibomoa ukuta huo bila ya kuchukua tahdhari. Hizi ni Baadhi ya Picha za tukio
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |




No comments:
Post a Comment