Tuesday, May 14, 2013

ACHINJWA HADHARANI

Tukio baya limetokea majuzi,Magomeni mapipa, Tukio hilo ni la mauaji ya kikatili, likifanyika majira ya mchana wa saa 7 kweupe.Mzee aliye chinjwa ana tambuli kwa jina Aine aine au Babajua Baba. Taarifa kamili tutakujuza zaidi.


Marehemu, Fredy( Babajua)Mungu ailaze roho ya Marehemu  Mahari Pema  peponi  Aaaamen.

No comments:

Post a Comment