![]() |
| Baadhi ya wanachi wakiwa eneo la Tukio. |
![]() |
| Wana usalama Barabarani wakipima ajali hiyo iliyo sababisha kifo cha mtu mmoja ambaye ni dereva wa basi lenye namba za usajili T 853 BRB lililo kuwa na wajumbe CCM kutoka wilaya ya kwimba Mkoani Mwanza leo. |
![]() |
| Basi lenye namba za usajili T853 BRB lililo kuwa na wajumbe wa CCM ikiwa katikati ya barabara mara baada ya kupata ajali. |



No comments:
Post a Comment